Gefundene Einträge
Buch | Kapitel | Vers | Text |
2 Korinther | 13 | 13 | (G13-12) Watu wote wa Mungu huku wanawasalimuni. |
2 Korinther | 13 | 14 | (G13-13) Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote. |
Offenbarung | 13 | 1 | (G12-18) Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (G13-1) Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo. |
Seite:
1