Gefundene Einträge
Buch | Kapitel | Vers | Text |
Lukas | 12 | 45 | Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: Bwana wangu amekawia sana kurudi halafu AANZE kuwapiga watumishi wenzake, wa kiume au wa kike, na kula, kunywa na kulewa, |
Epheser | 4 | 28 | Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na AANZE kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini. |
Seite:
1